Kamati Ya Bunge Mambo Ya Nje,Chini Ya Mwenyekiti Wake Lowasa Yaanza Ziara Ya Siku 14
Posted in
No comments
Wednesday, June 27, 2012
By
danielmjema.blogspot.com
Kamati Ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Chini Ya Mwenyekiti Wake Edward Lowassa Yaanza Ziara ya Siku 14 katika Balozi za Tanzania Kwenye nchi za Marekani,Canada,Uingereza na Asia Kukagua Namna Zinavyotekeleza Mambo ya Sera na Uchumi
Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :