MWENGE WA UHURU WAWASILI JIJINI DAR ES SALAAM, MIRADI YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 7 KUZINDULIWA
Posted in
No comments
Monday, June 25, 2012
By
danielmjema.blogspot.com
![]() |
Baadhi ya wafanyakazi
na wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam waliojitokeza kuupokea Mwenge wa
Uhuru katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam leo. |
![]() |
Askari kutoka jeshi la Polisi wakiimarisha ulinzi wakati wa sherehe za mapokezi ya Mwenge wa Uhuru leo jijini Dar es Salaam. |
Wakimbiza Mwenge kitaifa wakiongozwa na kiongozi wa mbio za Mwenge Capt. Ernest Mwanossa (wa kwanza mbele) wakianza safari kuelekea maeneo mbalimbali ya wilaya ya Temeke leo jijini Dar es Salaam. |
![]() |
Vijana wa halaiki kutoka wilaya ya Temeke wakiimba wimbo maalum wa Mwenge wakati wa mapokezi leo jijini Dar es Salaam. |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :