KUTOKA254

Sauti za Afrika Mashariki

  • Maoni
Twitter Facebook Google RSS

TIGO YAMZAWADIA MSHINDI WA KWANZA WA TIGO BEATS

Posted in
No comments
Tuesday, June 26, 2012 By danielmjema.blogspot.com

KAMPUNI ya Mawasialiano ya Simu za mkononi ya tigo imemtangaza mshindi wa kwanza wa promosheni yao ya Tigo Beats.
na huyu ndiye mshindi wa Tigo Beatz

 Akiongea wakati wa kumtangaza mshindi huyo, Afisa Uhusiano wa Tigo, Alice Maro alimtaja mshindi huyo kuwa ni Zumra Mohamed, ambaye ni mkulima kutoka Sanya juu, wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro.
"Siamini macho yangu"


Alice alisema mshindi amepatikana katika bahati nasibu iliyofanyika wiki iliyopita kwa mfumo wa kompyuta na kusimamiwa na mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha, alisema kamwe tigo hawabahatishi na kuwataka wateja kukaa mkao kwa vitu kama hivyo









hongera mama

 "Tunaendelea kuhakikisha kuwa tunawapatia wateja wetu huduma na zawadi zinazoendana na thamani ya fedha zao,” alisema Alice Maro na kuongeza

leo tunamtangaza mshindi wa kwanza
“Simu za mkononi zimekuwa ni zaidi ya kupiga ama kutuma ujumbe wa maandishi, sasa simu zinawawezesha watumiaji kucheza michezo mbalimbali pamoja na kudownload nyimbo, huu ni ubunifu ambao tunaendelea kuufanya ili kuhakikisha tunawapa wateja wetu kile wanachokitarajia kutoka kwetu,” alisema Maro.

wakati wa kumtamshindi
Kuhusu jinsi ya kushiriki katika promosheni ya Tigo Beats, Maro alisema, kuwa kuna njia tatu za kushiriki ambazo ni, kubonyeza alama ya nyota wakati wa kupiga simu, kutuma herufi ya wimbo wowote kwenda 15050 au kupiga 15050 na kununua wimbo unaoutaka.

Zumra na hundi yake ya sh. 10,000,000
Alibainisha kwamba mshindi wa promosheni hiyo iliyoanza tarehe 26 Mei na kumalizika 19 julai mwaka huu, wateja watapata fursa ya kujishindia Tsh. 5,000,000 pamoja na nyongeza ya Tsh. 5,000,000 kutoka Tigo na hivyo kujinyakulia jumla ya Tsh. 10,000,000 taslimu.

Alice akimkabidhi Zumra Hundi yake
Akiongea baada ya kupokea zawadi kutoka tigo, mshindi wa Tsh. Milioni 10 za tigo beats, Zumra Mohamedi aliwataka watanzania kushiriki katika promosheni hiyo bila kuchoka kwani mchezo huo ni kweli na wasikate tamaa kama yeye alivyoshinda.

afisa uhusiano wa Tigo, Alice Maro akiongea na waandishi wa habari
“nimefurahi sana yani siamini kabisa kama leo nimeshika milioni 10 mkononi, niwaambie woteb wanaosema kwamba mchezo huu ni danganya toto kwamba mchezo ni kweli na wajaribu kila mara bila kuchoka,” alisema Zumra.

Zumra akiwa na baba yake mzazi

Hata hivyo, alice alitoa tahadhari kwamba mshindi wa promosheni atapatikana baada ya siku 60  kwa hiyo wateja wanatakiwa kushiriki mfululizo hadi mwisho wa promosheni hiyo kama wanataka kuibuka washindi na kuongeza kwamba shindano la Tigo linahusu kila mteja mradi tu awe ni mtanzania na awe na umri usiopungua miaka 18.


 Akiongea wakati wa kumtangaza mshindi huyo, Afisa Uhusiano wa Tigo, Alice Maro alimtaja mshindi huyo kuwa ni Zumra Mohamed, ambaye ni mkulima kutoka Sanya juu, wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro.







































Habari Zingine

Mjulishe Mwenzako

  • Share on facebook
  • Tweet it
  • Digg This
  • Save on del.icio.us
  • Stumble this
↑ Rudi Juu

0 MAOINI :

← Newer Post Older Post →
Subscribe to: Post Comments ( Atom )

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com


HOT NEWS

OTHER FRIENDLY SITES

  • Global Publishers
    Mkutano Wa 18 Wa Baraza La Mawaziri Wa Jumuiya Ya Afrika La Kilimo Na Usalama Wa Chakula Wafanyika Arusha - Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Dennis L. Londo (Mb. tarehe 18 Julai, 2025 ameongoza ujumbe wa Tanzania katika ...
    2 hours ago
  • MICHUZI BLOG
    Caltex na Polisi Wazindua Kampeni ya Usalama Kwa Madereva wa Bodaboda - NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM Mkuu wa Usalama Barabarani Chang’ombe, Reverent Nkyami amesema ukosefu wa elimu rasmi na mafunzo ya usalama barabarani ume...
    5 hours ago
  • Bongo5.com
    Twange awataka wakandarasi miradi ya umeme Dodoma kuongeza kasi ya ujenzi - Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange Julai 18, 2025 amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya Miradi ya umeme ukiwemo wa Njia ya kusafirisha umeme...
    16 hours ago
  • JamiiForums | The Home of Great Thinkers
    Vituko mitandaoni. Tupia chako -
    9 months ago
  • Bongo Celebrity
    - [image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio] Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio alt=”” class=”w...
    1 year ago
  • Mseto East Africa
    Hal Yang Harus Dilakukan Sebelum Mengirim Artikel - Dengan teknologi komunikasi modern, muncul popularitas pemasaran berbasis informasi, yang merupakan salah satu teknik tertua dan paling efektif dalam menda...
    4 years ago

Translator

VIEWERS ACROSS THE GLOBE

LIKE OUR FACEBOOK PAGE

FOLLOW US ON TWITTER

Tweets by @FadhiliAthumani
  • Zilizo Somwa Zaidi
  • Maoni
  • Maktaba

    Zilizo Somwa Zaidi

    • THE MOHAMED AMIN AFRICA MEDIA AWARDS - CALL FOR ENTRIES
      THE MOHAMED AMIN AFRICA MEDIA AWARDS - CALL FOR ENTRIES
    • Africa: Orange launches the 2015 Orange African Social Venture Prize
    • Philips and SNV collaborate to increase access to clean, efficient cooking solutions for communities in Africa
    • White House Garden Harvests Vitamin-A Rich Orange Sweet Potato
Copyright © 2015 KUTOKA254 . eastafricaswahilimediagroup +254705246475 easwahilimedia
Proudly Powered by EAMG .