Uokoaji Maiti zilizofukiwa na Kifusi Ruangwa wakamilika
Posted in
No comments
Friday, September 7, 2012
By
danielmjema.blogspot.com



Kikosi cha wananchi cha Uokoaji kikiwa kimewafikia watu hao waliofukiwa na kifusi.
Na Abdulaziz video
Zoezi
la kufukua Maiti za watu waliofunikwa na kifusi katika Machimbo ya
Madini katika Kata ya Nandagala Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi jana
limekamilika leo asubuhi huku wakifanikiwa kuzipata maiti zote 7
Akiongea na mtandao huu,Diwani wa Kata hiyo,Andrew Chikongwe alibainisha kuwa kazi ya kufukua kifusi hicho imechukua muda mrefu kufuatia na kuwepo kwa zana duni za kufukua Mchanga hali iliyofanya kazi hiyo kuwa Ngumu kuanzia jana saa 9 jioni hadi leo asubuhi
Chikongwe aliwataja Marehemu hao ni Nyang'ana Mkelecha,Mkazi wa Musoma,Mohamed Omari Fondogoro,Mkazi wa Morogoro,Bakari Liganga mkazi wa Chunyu Ruangwa,Rajab maarufu ROGER Mkazi wa Musoma,Uwesu Bakari Abeid mkazi wa Rondo,Chakoda Mkazi wa Dar na Rashid Ally maarufu BADE Mkazi wa Masasi mkoani Mtwara
Akiongea na mtandao huu,Diwani wa Kata hiyo,Andrew Chikongwe alibainisha kuwa kazi ya kufukua kifusi hicho imechukua muda mrefu kufuatia na kuwepo kwa zana duni za kufukua Mchanga hali iliyofanya kazi hiyo kuwa Ngumu kuanzia jana saa 9 jioni hadi leo asubuhi
Chikongwe aliwataja Marehemu hao ni Nyang'ana Mkelecha,Mkazi wa Musoma,Mohamed Omari Fondogoro,Mkazi wa Morogoro,Bakari Liganga mkazi wa Chunyu Ruangwa,Rajab maarufu ROGER Mkazi wa Musoma,Uwesu Bakari Abeid mkazi wa Rondo,Chakoda Mkazi wa Dar na Rashid Ally maarufu BADE Mkazi wa Masasi mkoani Mtwara
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :