POLISI BARRACKS YATETEA UBINGWA WA SAFARI DARTS TAIFA CUP 2012

Posted in
No comments
Monday, October 8, 2012 By danielmjema.blogspot.com


  Katibu Tawala Wilaya ya Moshi Mjini , Hashimu Shimbo(kulia) akiwakabidhi Kikombe wachezaji wa klabu ya Polisi Baalax mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Darts Taifa(TADA) yaliyofanyika katika Hoteli ya Hugo’s Moshi Mkoani Kilimanjaro mwishoni  mwa wiki.
 Meneja mauzo wa Wilaya ya Moshi,Mwamba akizungumza na wachezaji hawapo pichani wakati wa kutoa zawadi kwa washindi wa mashindano ya Darts Taifa
 Mwenyekiti wa Chama cha Darts, Gesase Waigama akizungumza na wachezaji hawapo pichani
 Mgeni rsmi, Katibu Tawala wa Wilaya ya Moshi Mjini, Hashimu Shimbo akizungumza na wachezaji
 Zawadi zikianza kugawiwa kwa washindi
Mabindwa wa mwaka 2012 wa Darts Taifa, Polisi Balax wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa Kombe

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .