Rais Kikwete aweka jiwe la Msingi kuzindua ujenzi wa jengo la ubalozi wa Tanzania nchini Oman
Posted in
No comments
Thursday, October 18, 2012
By
danielmjema.blogspot.com


Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua ujenzi wa jengo la ubalozi wa
Tanzania nchini Oman jana.Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe,watatu kushoto ni Balozi wa
Tanzania nchini Oman,bwana Ali Ahmed Saleh, wane kulia aliyeshika karai
ni ofisa mwandamizi ubalozi wa Tanzania nchini Oman Bwana Abdallah
Kilima na kulia anayeshuhudia ni ofisa katika ubalozi wa Tanzania oman
Bwana Saidi Mussa
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :