PICHA NA MATUKIO MBALIMBALI ZIARA YA SIKU 4 YA JK. MKOANI KILIMANJARO
Posted in
No comments
Thursday, November 1, 2012
By
danielmjema.blogspot.com
Rais Kikwete azindua kiwanda cha Kusindika Tangawizi Mamba Miamba
Rais
Jakaya Kikwete akiangalia chupa ya tangawizi iliyotayari kuuzwa mara
baada ya Rais Kikwete kufungua rasmi kiwanda cha kuzalisha Tangawizi kimnachomilikiwa na Umoja wa Walima Tangawizi Mambakatika Kijiji cha Goha Kata ya Mamba Miamba Wilayani Same mkoani Kilimanjaro juzi.
Rais
Jakaya Kikwete akimsikiliza Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi,
kinachomilikiwa na Umoja wa Walima Tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda
wakati amkaribisha kufungua kiwanda cha kusindika Tangawizi.
Rais
Jakaya Kikwete akifungua rasmi kiwanda cha kusindika tangawizi katika
Kijiji cha Goha Kata ya Mamba Miamba Wilayani Same mkoani Kilimanjaro
juzi. Kushoto ni Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi, kimnachomilikiwa na
Umoja wa Walima Tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda na Kulia ni
Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ambaye
amefanikisha ujenzi wa kiwanda hicho kwa asilimia kubwa.
Rais
Jakaya Kikwete akipeana mkono na Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki,
Anne Kilango Malecela ambaye amefanikisha ujenzi wa kiwanda hicho mara
baada ya Rais Kikwete kufungua rasmi kiwanda hicho katika Kijiji cha
Goha Kata ya Mamba Miamba Wilayani Same mkoani Kilimanjaro juzi. Kushoto
ni Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi, kimnachomilikiwa na Umoja wa Walima
Tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda
Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kufungua rasmi langop kuu la Kiwanda hicho.
Rais
Jakaya Kikwete akikagua uzalishaji wa Tangawizi mara baada kufungua
rasmi kiwanda cha kusindika Tangawizi kinacho milikiwa na Ushirika wa
wakulima wa Tangawaizi katika Kata ya Mamba Miamba Wilayani Same mkoani
Kilimanjaro juzi.
Rais
Jakaya Kikwete akimsikiliza Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi,
kinachomilikiwa na Umoja wa Walima Tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda
(kushoto) juu ya shughuli za uzalishaji mara baada ya Rais Kikwete
kufungua rasmi kiwanda hicho katika Kijiji cha Goha Kata ya Mamba Miamba
Wilayani Same mkoani Kilimanjaro juzi. Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Same
Mashariki, Anne Kilango Malecela ambaye amefanikisha ujenzi wa kiwanda
hicho kwa asilimia kubwa.
Rais
Jakaya Kikwete akioneshwa chupa ya tangawizi iliyotayari kuuzwa
.Kushoto ni Meneja wa Kiwanda cha Tangawizi, kinachomilikiwa na Umoja
wa Walima Tangawizi Mamba, Mhandisi Aim Luvanda akimpa maelezo juu ya
shughuli za uzalishaji mara baada ya Rais Kikwete kufungua rasmi kiwanda
hicho katika Kijiji cha Goha Kata ya Mamba Miamba Wilayani Same mkoani
Kilimanjaro juzi.
Rais
Kikwete akisalimina na wananchi wa rika mbalimbali waliofurika katika
uiwanja wa michezo wa Goha kata ya Mamba Miamba kumsikiliza.
Rais
Jakaya Kikwete akimkabidhi cheti cha shukrani Mbunge wa Jimbo la Same
Mashariki, Anne Kilango Malecela kwa kufanikisha ujenzi wa Kiwanda cha
kusindika tangawizi katika Kata ya Mamba Miamba Wilayani Same Mkoani
Kilimanjaro. Rais Kikwete alifungua kiwanda hicho juzi.
Mbunge
wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecelaakizungumza na
wananchi katika mkutano wa hadhara kabla ya Rais Kikwete kuhutubia
hadhara hiyo.
Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia wakazi wa Kata ya mamba Miamba wilayani Same mkoani Kilimanjaro juzi.
RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI BARABARA YA MKUU ROMBO-TARAKEA na KUZINDUA UJENZI WA BARABARA YA KWA SADALA-MASAMA, WILAYANI HAI,LEO

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisaidiwa kuzindua jiwe la msingi na Mbunge wa
Hai na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman
Mbowe katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa
Sadala-Masama wilayani hai leo.

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa na kupewa shukurani na Mbunge wa Hai
na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman
Mbowe katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa
Sadala-Masama wilayani hai leo.Kushoto ni Waziri wa Ujenzi,Mh. John Magufuli.

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na washika dau wa miundombinu wakikata utepe
ishara ya kufungua rasmi wa barabara ya KM32 kutoka Mkuu Rombo hadi
Tarakea leo Oktoba 30, 2012 kijijini Tarakea, wilaya ya Rombo mkoa wa
Kilimanjaro ambako Rais Kikwete yuko katika ziara ya kikazi ya siku nne.

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisaidiwa na Mbunge wa Rombo Mhe Joseph Selasini
kukunjua pazia kama ishara ya kufungua rasmi wa barabara ya KM32
kutoka Mkuu Rombo hadi Tarakea leo Oktoba 30, 2012 kijijini Tarakea,
wilaya ya Rombo mkoa wa Kilimanjaro ambako Rais Kikwete yuko katika
ziara ya kikazi ya siku nne.Pichani kati akishuhudia tukia hilo ni Waziri wa Ujenzi Mh.John Magufuli.

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa na Mbunge wa Rombo Mhe Joseph
Selasini kukunjua pazia kama ishara ya kufungua rasmi wa barabara ya
KM32 kutoka Mkuu Rombo hadi Tarakea leo Oktoba 30, 2012 kijijini
Tarakea, wilaya ya Rombo mkoa wa Kilimanjaro ambako Rais Kikwete yuko
katika ziara ya kikazi ya siku nne.Pichani kati akishuhudia tukia hilo
ni Waziri wa Ujenzi Mh.John Magufuli.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :