SHUKURANI
Posted in
No comments
Thursday, June 27, 2013
By
danielmjema.blogspot.com
Shukrani za pekee tunazipeleka kwa Uongozi na wafanyakazi
wote wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dr Kisanga, Dr Mary,
wauguzi wa Burhan Hospital, Mapadre na Waumini wa Parokia Katoliki ya Kinyerezi,
Kristu Mfalme – Tabata, Majirani, Ndugu,
Jamaa na Marafiki wote kwa jinsi mlivyoshirikiana nasi katika msiba huo.
Sio rahisi kuwataja kwa majina wote walioshiriki nasi. Tunaomba mzipokee
shukrani zetu kwa waraka huu.
Shukrani za kumaliza msiba huo zitafanyika nyumbani kwake
Kinyerezi, siku ya Jumamosi tarehe 06/07/2013 kuanzia 02 asubuhi kwa Ibada ya
Misa Takatifu nyumbani kwa Marehemu. Tunawakalibisha wote.
BWANA AMETOA NA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :