OFISA MTENDAJI MKUU DAWASCO,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AAGA RASMI MUWSA.
Posted in
Habari na Jicho Pevu la Kijiwe
No comments
Sunday, August 23, 2015
By
danielmjema.blogspot.com
![]() |
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,wakiwa katika kikao maalumu kwa ajili ya kuagana na aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo. |
![]() |
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,Mhandisi ,Patrick Kibasa akizungumza katika kikao hicho. |
![]() |
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na uSAFI WA Mazingira mjini Moshi,MUWSA. |
![]() |
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,wakiwa katika kikao hicho. |
![]() |
Meneja Biashara wa MUWSA,John Ndetiko akitoa neon la shukrani katika kikao hicho. |
![]() |
Wafanyakazi wa MUWSA. |
![]() |
Mhandisi Luhemeja akiagana na wafanyakazi wa MUWSA. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :