Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania.
Posted in
Habari na Jicho Pevu la Kijiwe
No comments
Tuesday, September 8, 2015
By
danielmjema.blogspot.com


Flaviana ambaye juzi alikuwa mmoja kati ya shuhuda wa kushuhudia wizara ya maliasili na utalii wakizindua rasmi tangazo litakalokuwa linatangaza vivutio vya Tanzania nje ya anchi alitawazwa leo hii na katibu mkuu Dr Adelhelm James Meru aliyemkabidhi kwa niaba ya Waziri , Mheshimiwa Lazaro Nyalandu huku Kaimu Mkurugenzi Madam Devota Mdachi akishuhudia.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :