Tuesday, December 27, 2016

Mdau Sada Almasi Shomary kachukuliwa Rasmi

Hatua ya Sada Almasi Shomary na mumewe Kazumari Malongo, harusi ilifanyika jijini Mwanza katika Msikiti Sheikh Amin Mtaa wa Rufiji na kufuatiwa na tafrija iliyofanyika katika Hoteli ya Gold Grest jijini Mwanza.

Kazumari Malongo, akimvisha pete Mkewe Sada Almasi Shomary
Sada Almasi Shomary katika pozi la picha
Sada Almasi Shomary akikata Keki
Sada Almasi Shomary na mumewe Kazumari Malongo

No comments:

Post a Comment