Sunday, June 3, 2012

KIKAO CHA 25 CHA KAMATI YA USHAURI MKOA WA KILIMANJARO

 Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu, TAMISEMI, Aggrey Mwanry, akitoa maelekezo ya serikali kwa halmashauri za mikoa


 Mheshimiwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Jaffary Michael mipango ya halmashauri ya manispaa ya moshi kwa mwenyekiti wa kamati ya ushauri, mheshimiwa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama ( hayupo pichani)

 wanakamati wakifuatilia kwa makini

Mwenyekiti wa KCCIA na mmliki wa Boisafi shopping center, Bw. Patrick Boisafi na maelezo ya mchakato wa KCCIA.

No comments:

Post a Comment