Sunday, June 10, 2012

Mtoto Wakike na Kazi za Mikono....!



Watoto wa kike katika maeneo mengi ya vijijini hufanya kazi ngumu ukilinganisha na umri wao.hapa ni kijiji cha Kalambazite,wilaya ya Sumbawanga vijijini.




Watato wakitoka kuchota maji, kijijini Kalambazite huko Sumbawanga

No comments:

Post a Comment