Nape Ziarani Njombe

Posted in
No comments
Thursday, June 14, 2012 By danielmjema.blogspot.com


 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye ameanza ziara ya kikaz i ya siku nne mkoani Iringa, ambapo atakagua uhai wa Chama na kukiimarisha katika wilaya mbali mbali mkoani humo. Kufuatia ziara hiyo Nape leo amewasili mjini Mafinga katika wilaya ya Mufindi kuanza ziara hiyo, Katika picha juu .Katibu Mwenezi wilaya ya Mafinga  Daudi Yassin akimtambulisha Nape kwa wenyeji

(Picha zote na Bashir Nkoromo)
 Wanachama wa wapenzi wa CCM wakimsubiri Nape kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Mufindi, mjini Mafinga
Nape akisalimia wanafunzi wa Chuo cha Uhazili Njombe, baada ya kuwasili ofisi ya CCM wilaya Mafinga wilayani Mufindi

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .