Wednesday, June 27, 2012

PICHA ZA AJALI ALIYOIPATA 50 CENT JUZI USIKU.

.
.
Rapper 50 CENT amepata ajali mbaya ya gari juzi usiku, huko Queens New York, baada ya gari lake kugongwa na lori ambapo yeye na dereva wake walikimbizwa hospitali ya karibu kutibiwa, hakuna taarifa nyingine za ziada lakini kijiweblog iko karibu na inafatilia kikitokea chochote kipya utakifahamu kupitia hapa hapa.

kwa msaada wa:millardayo.com

No comments:

Post a Comment