Friday, June 22, 2012

SERENGETI YAZINDUA MRADI WA UVUNAJI MAJI HOSPITALI YA WILAYA IRINGA MJINI

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Dr. Leticia Warioba akifungua maji kwenye bomba mara baada ya kuzindua mradi wa kuvuna maji katika hospitali ya wilaya ya Iringa, iliyopo Frelimo Kata ya Mwangata Iringa mjini, mradi huo utasaidia zaidi ya wakazi 100.00 wamaeneo ya karibu na hospitali hiyo, mradi huo umegarimu jumla ya shilingi milioni 50,000 za kitanzania na umegharimiwa kwa ufadhili wa kampuni ya mbia ya Serengeti (SBL), kushoto katika picha ni Malala Paulo Kamimu Mkurugenzi Manispaa ya Iringa
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Dr. Leticia Warioba akifunguapazia wakati akizindua  mradi wa kuvuna maji katika hospitali ya wilaya ya Iringa, iliyopo Frelimo Kata ya Mwangata Iringa mjini, kulia ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL)
Wakazi wa Iringa na wageni mbalimbali waliohudhuria katika uzinduzi huo
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Dr. Leticia Warioba na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya bia ya Srengeti Teddy Mapunda  katikati wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi na watumishi mbalimbali wa hospitali hiyo na manispaa ya Iringa.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Dr. Leticia Warioba akimtwisha ndoo ya maji BAgusta Mtemi Diwani wa Viti Maalum Manispaa ya Iringa mara baada ya kuzindua mradi huo.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Dr. Leticia Warioba akizungumza katika uzinduzi huo, kulia ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano Kampuni ya bia ya Serengeti na kushoto ni Mh. Amani Mwamwindi Meya wa Manispaa ya Iringa
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Dr. Leticia Warioba akimsikiliza Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano Kampuni ya bia ya Serengetiwakati akisoma risala yake
Wadau kutoka kampuni ya bia ya Sewrengeti kutoka kushoto ni Bw. Philip Ghucha, David Shayo, Imani Lwinga na mdauGerson Malisa wa kampuni ya TKA wakishuhudia tukio hilo.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda akimuonyesha Dr. Leticia Warioba  Mkuu wa Wilaya ya Iringa jinsi matanki ya maji yalivyojengewa katika eneo maalum kwa ajili ya uvunaji maji katika mradi huo.


No comments:

Post a Comment