Hayo yamebainishwa leo katika semina ya mafunzo ya IZARA ya Ujenzi, Barabara na Nyumba na kutoa uwezo kwa wahandisi wanawake kushiriki kikamilifu katika kazi za barabarani yaliyofanyika katika ukumbi wa Kilimanjaro Cranes na kushirikisha washiriki zaidi ya 30 kutoka katika mikoa zaidi kumi.
No comments:
Post a Comment