Sunday, July 7, 2013

DJOKOVIC KUUMANA NA ANDY MURRAY KATIKA FAINALI NYINGINE YA WIMBLEDON


epa03776928 Novak Djokovic of Serbia celebrates a winner against Juan Martin Del Potro of Argentina during their semi-final match for the Wimbledon Championships at the All England Lawn Tennis Club, in London, Britain, 05 July 2013. EPA/KERIM OKTEN +++(c) dpa - Bildfunk+++
Leo Jumapili ( 07.07.2013) mashabiki wa mchezo wa tennis watarejea tena katika viwanja vya Wimbledon kushuhudia fainali ya wanaume, ambapo Novak Djokovic anapambana na Andy Murray katika fainali.

Kwa mara ya tatu katika Grand slam nne vijana hao wawili waliozaliwa karibu wakitofautiana kwa wiki moja watatiana kifuani kuwania taji hilo muhimu katika mchezo wa Tennis.

No comments:

Post a Comment