Ryan Giggs na Phil Neville
Manchester United imewatangaza Ryan Giggs kama kocha mchezaji na Phil Neville kuwa katika jopo la makocha.
Ryan Giggs na Phil Neville
Neville,amechukuwa nafasi iliyoachwa Rene Meulensteen,ambaye alijiunga na Guus Hiddink meneja wa sasa wa club ya Anzhi Makhachkala ya Urusi.
Ryan Giggs na Phil Neville
No comments:
Post a Comment