TYSON GAY NA ASAFA POWEL WATUMIZI WA MADAWA HARAMU YA KUSISIMUA MISULI
Posted in
No comments
Monday, July 15, 2013
By
danielmjema.blogspot.com
Gay, ambaye ni mwanariadha wa pili kwa kuwa na
kasi kubwa ya kukimbia katika mbio za mita mia moja, amesema anajiondoa
kwenye mashindano ya dunia ya riadha yanayotarajiwa kufanyika mjini
Moscow mwezi ujao .
Asafa Powell, ambaye alishikilia rekodi ya mbio za mita 100 hadi ilipovunjwa na Usain Bolt mwaka 2008, amekanusha kuwa alitumia dawa hizo makusudi .
Mwanariadha mwenzake wa Jamaica Sherone Simpson pia amepatikana na hatia ya kuzitumia dawa hizo za kusisimua misuli.
Asafa Powell, ambaye alishikilia rekodi ya mbio za mita 100 hadi ilipovunjwa na Usain Bolt mwaka 2008, amekanusha kuwa alitumia dawa hizo makusudi .
Mwanariadha mwenzake wa Jamaica Sherone Simpson pia amepatikana na hatia ya kuzitumia dawa hizo za kusisimua misuli.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :