Friday, November 22, 2013

P SQUARE WADONDOKA DAR "PERSONALLY" LEO:KUTIKISA LEADERS KESHO

Wanamuziki wanaotajwa kuwa na mvuto zaidi barani Afrika, P Square, wamewasili usiku huu katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere  kwa ajili ya onesho lao linalotarajiwa kufanyika Jumamosi hii katika viwanja va Leaders Club maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam


Pichani juu ni Petter(wa pili kutoka kushoto na Paul). Kulia ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao ambalo limeratibiwa na East africa Radio na TV.
Mahojiano na picha za hapa na pale zikiendelea...
Hapa wakifanya mahojiano na kituo cha East Africa TV ambao ndio wenyeji wao
Vijana wakielekea kupumzika tayari kwa kaziWanamuziki wanaotajwa kuwa na mvuto zaidi barani Afrika, P Square, wamewasili usiku huu katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere  kwa ajili ya onesho lao linalotarajiwa kufanyika Jumamosi hii katika viwanja vya Leaders Club maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment