Thursday, December 19, 2013

MAOFISA UGANI WA KATA WILAYANI HAI, WAKABIDHIWA BAISKELI 15

Diwani wa kata ya Weruweru, iliyoko katika wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Diwani Adris Mandrai akikabidhi baiskeli kwa mmoja wa maofisa Ugani wa Kata zote za wilaya ya Hai, leo.
Diwani wa kata ya Weruweru (waliokaa kushoto), kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, Zabdiel Moshi, katika picha ya Pamoja baada ya kukabidhi baiskeli 15 kwa Maofisa ugani wa kata zote wilaya hiyo.
Baadhi ya baiskeli zilizokabidhiwa kwa maafisa Ugani wa Kata za wilaya ya Hai leo.

No comments:

Post a Comment