Baadhi
ya washiriki wa mchezo huo wakifanya mazoezi kabla ya kuanza kwa
shindano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Magunila Kihonda Mjini
Morogoro.
Wahsiriki wa shindano hilo kutoka mikoa mbailimbali wakiwa katika ukumbi huo wakishuhudia pambano hilo.
Irene Kihupi mchezaji kutoka mkoa wa Dar es Salaam akiwa katika pambano hilo.
Joyce Laize mchezaji kutoka mkoa wa Arusha akiwa katika pambano hilo.
Mwenyekiti huyo wa Dats akizindua mchezo huo ili kuruhusu pambano kuanza rasmi.
Baadhi ya wachezaji wakiwa katika pambano hilo
Frolida Namajojo katibu wa Dats mkoa wa Morogoro akiwa katika mazoezi kabla ya kuanza mchezo huo.
No comments:
Post a Comment