BREAKING NEWS: MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO MUDA HUU...
Posted in
Kifo
No comments
Sunday, October 19, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Maiti ya Mwanaume anayekadirikiwa kuwa na Umri kati ya miaka 25-35,
imeokotwa asubuhi ya leo katika Mfereji wa Maji ulioko jirani na
kiwanda cha kukoboa Kahawa (Coffee Curing), maeneo ya Majengo Fire,
wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya wananchi wakishangaa maiti ya mwanaume huyo ambaye
jina lake na wapi na chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana
Mwili wa Marehemu huyo ukiwekwa katika Gari la Polisi
Huu ndio mfereji ambako mwili wa mtu asiyejulikana ulikokutwa
leo asubuhi
Maiti ya mwanaume
huyo ukiwa umelazwa katika gari la Askari, baada ya kutolewa kwenye
mfereji huo.
Mwili hu ukipakizwa kwenye Gari
Wananchi wakishiriki kuupakiza mwili huo kwenye gari la Polisi.
Mwili hu ukipakizwa kwenye Gari
Wananchi wakishiriki kuupakiza mwili huo kwenye gari la Polisi.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :