BALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA.
Posted in
Habari na Jicho Pevu la Kijiwe
No comments
Saturday, May 23, 2015
By
danielmjema.blogspot.com
Balozi
wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya
elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza.
Afisa
Mfawidhi Ofisi ya PSPF Mwanza, Bw. Salim Salim, akisalimiana na Balozi wa PSPF,
Bi. Flaviana Matata, kabla ya kuanza semina ya siku moja kwa wanafunzi wa vyuo
mbalimbali vya elimu ya juu jijini Mwanza.
Baadhi
ya wanafunzi wakisoma vipeperushi vyenye taarifa kuhusu Mfuko wa PSPF wakati wa
semina juu ya Mfuko huo iliyotolewa na Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata hivi
karibuni.

Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :