Tuesday, April 19, 2016

VIWANJA 10 BORA VYA NDEGE DUNIANI HADI KUFIKIA MACHI 2016 HIVI HAPA


Kwa mwaka wa nne mfululizo uwanja wa Ndege wa Singapore Changi  umekuwa ndio uwanja wa ndege bora zaidi duniani ukishika nafasi ya kwanza na ulichukua tuzo za SkyTrax World Airport Awards 2016 ambapo ulitangazwa huko Gologne Germany, Tuzo za Skytrax zinategemea kura zinazokusanywa kutoka kwa mamillioni ya abiria.

1. Singapore Changi Airport
1
2. Incheon International Airport (South Korea)
2
3. Munich Airport (Germany)
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
4. Tokyo International Airport Haneda
4
5. Hong Kong International Airport
5
6. Chubu Centrair International Airport (Nagoya, Japan)
6
7. Zurich Airport (Switzerland)
7
8. London Heathrow Airport
8
9. Kansai International Airport (Osaka, Japan)
9
10. Hamad International Airport (Doha, Qatar)

No comments:

Post a Comment