Tuesday, May 24, 2016

Breaking New: Soita Shitanda amefariki Dunia

Waziri Mstaafu ambaye aliwahi kuhudumu kama Mbunge wa jimbo la Malava, Soita Shitanda (pichani), amefariki dunia, katika Hospitali ya Nairobi alikokuwa anapatiwa matibabu.

No comments:

Post a Comment