Tanzania imetangaza muswada mpya wa sheria ya wanaowapa watoto mimba
Posted in
afrika mashariki
No comments
Tuesday, June 28, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Bunge la 11, nchini Tanzania, litafanya mapitio ya marekebisho ya muswada wa sheria ya mtoto ambayo imeelekeza kuwa mtu atakayempa mimba mtoto ambaye kisheria anafahamika ni yule mwenye umri wa chini ya miaka 18 basi atahukumiwa kifungo cha jela miaka 30.
‘Sheria ya kanuni za adhabu inawagusa hata ambao hawapo shuleni ambao wapo chini ya miaka 18, ukifanya tendo la kujamiiana na mtoto wa chini ya miaka 18 hata kama mlikubaliana utahesabia umebaka‘ –George Masaju
Unaweza kuendelea kumsikiliza kwenye hii video hapa chini….
Habari Zingine
- UHURU WA HABARI SIO KUIANGALIA TU SERIKALI - MWAKYEMBE
- JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA LATANGAZA KUSUSIA KUANDIKA HABARI ZA MKUU WA MKOA WA DAR
- WENGI WALIVYOJITOKEZA KUMUAGA MWANA TBN JENNIFER LIVIGHA (CHINGA ONE) HOSPITALI YA AMANA JIJINI DAR
- Wachimbaji mgodi 15 waliokwama ardhini waokolewa nchini Tanzania
- Al-Shabab washambulia kambi ya majeshi ya Kenya nchini Somalia
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :