PICHA ZA AJALI ALIYOIPATA 50 CENT JUZI USIKU.

Posted in
No comments
Wednesday, June 27, 2012 By danielmjema.blogspot.com

.
.
Rapper 50 CENT amepata ajali mbaya ya gari juzi usiku, huko Queens New York, baada ya gari lake kugongwa na lori ambapo yeye na dereva wake walikimbizwa hospitali ya karibu kutibiwa, hakuna taarifa nyingine za ziada lakini kijiweblog iko karibu na inafatilia kikitokea chochote kipya utakifahamu kupitia hapa hapa.

kwa msaada wa:millardayo.com

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .