MB DOGG AFANYA SHOOTING YA VIDEO YAKE MPYA "THE ONLY ONE"
Posted in
No comments
Sunday, September 30, 2012
By
danielmjema.blogspot.com
Hii ndiyo crew nzima ambayo imehusika katika kusimamia video ya msanii
anayejulikana kwa jina la MB Dogg ambayo video hiyo inakwenda kwa jina
la "The Only One" katika upande wa kufanya shooting .
Hapo MB Dogg akifanya shooting huku akimuimba Queen video ambaye amehusika katika Video hiyo mpya ya "The Only One" leo katika hotel moja inayojulikana kwa jina la Villa. MB Dogg
Mb Dogg aki show love na ABdul ambaye amehusika katika upande wa production lakini katika upande wa production anajulikana kwa jna la Camera man na production yake inakwenda kwa jina la Kagua Films ndiyo imehusika katika upande wa kufanya shooting nyimbo mpya ya MB Dogg inayokwenda kwa jina la "The One Only"
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :