VODACOM FOUNDATION YAENDESHA KAMBI YA MATIBABU MKURANGA.
Posted in
No comments
Thursday, October 18, 2012
By
danielmjema.blogspot.com

Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani wakisubiria kupata huduma za matibabu katika kambi maalum iliyoandaliwa na Chama cha Madaktari Wanafunzi Tanzania, na kufadhiliwa na Vodacom Foundation. Matibabu hayo yalitolewa bure kwa wakazi wa wilaya hiyo.



Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :