MADEREVA WA BODA BODA WALIVAMIA GARI

Posted in
No comments
Thursday, June 14, 2012 By danielmjema.blogspot.com


 Pichani ni gari lenye nambari T 491 ATR lililoharibiwa na madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda,likiwa limeharibiwa vibaya kwa kuvunjwa vioo vyote Juni 9 mwaka huu,majira ya saa nne asubuhi baada ya kumgonga dereva mwenzao Mtaa wa Kabwe,Jijini Mbeya hapa kisha kutokomea.
 Lakini madereva bodaboda hao walimfukuzia mpaka Mtaa wa Mama John,Jijini humo,ambapo walimpiga baada ya kukataa kutii amri ya kulipeleka gari polisi.Hata hivyo hivi sasa Jeshi la Polisi wanawatafuta vijana wa bodaboda wanaotuhumiwa kuharibu gari hilo.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .