Mzee Bob Makani Afariki Dunia!

Posted in
No comments
Sunday, June 10, 2012 By danielmjema.blogspot.com



Habari zilizothibitishwa na uongozi wa CHADEMA ni kuwa,mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Mzee Bob Makani, amefariki dunia jioni ya tarehe 9 june 2012.

KIJIWE BLOG inaungana na familia ya mpambanaji huyu, wanaharakati wote, ndugu jamaa na marafiki

tunapenda kutoa pole kwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa mheshimiwa MBOWE pamoja na timu nzima ya movement for change, M4C

"MUNGU AILAZE ROHO YA MZEE WETU MAHALI PEMA PEPONI AMENI!!"

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .