HONGERA SANA MDAU WETU KAMBI MBWANA KWA KUTIMIZA MIAKA KADHAAA YA KUZALIWA-HAPPY BIRTHDAY!!!!!
MUNGU ANANIPENDA NA ANAKUPENDA PIA
"LEO ni siku yangu ya kuzaliwa. Wakati naifurahia siku hii kwa
kumshukuru Mungu wa peekee, Nawashukuru wote waliochangia kwa namna moja
ama nyingine katika maisha yangu yooote. Hakika, kuna wakati
tunakwaluzana, lakini tunakaa na kuyamaliza kibinadamu.
Nawashukuru sana na muendelee kuniunga mkono. Aidha, nikiwa kama
binadamu sitakatai kuchukiwa na anayependa hivyo, ila asinichukie bila
sababu za msingi. Kwenye makosa naombwa nisemwe au kuelekezwa."
KUTOKA TAIFA LETU.com tunasema HAPPY BIRTHDAY KAKA KAMBI MBWANA!!
No comments:
Post a Comment