NEYMAR AANZA VYEMA KOMBE LA MABARA 2013 BRAZIL IKIUA 3-0
Posted in
No comments
Sunday, June 16, 2013
By
danielmjema.blogspot.com
Mshambuliaj
huyo nyota wa Brazil, alifunga kwa shuti la nje ya eneo la hatari,
akiunganisha pasi ya Fred ambaye naye alipokea krosi ya Marcelo kwa
kifua kwanza.
Paulinho alifunga la pili dakika ya 48 kwa pasi ya Dani Alves na Jo akafunga la tatu dakika ya 90.
Ushindi
huo unaiweka Brazil kileleni mwa Kundi A kwa pointi zake tatu. Italia
na Mexico watamenyana leo katika mechi nyingine ya kundi hilo.
Japan: Kawashima,
Konno, Nagatomo, Uchida, Yoshida, Endo/Hosogai dk77, Honda/Inui dk88,
Kiyotake/Maeda dk51,Kagawa, Hasebe na Okazaki.
Nyota wa Chelsea, David Luiz akishangilia na wenzake
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :