KATIBU MKUU MPYA WA UVCCM ARIPOTI OFISINI SEPTEMBA 3 2013!

Posted in
No comments
Wednesday, September 4, 2013 By danielmjema.blogspot.com

 Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Sixtus Mapunda (wapili kushoto) akiwasalimia baadhi ya watumishi wa makao makuu ya Jumuia hiyo, jijini Dar es Salaam, alipowasili kuripoti rasmi ofisini kwake, kwenye jengo la makao makuu hayo ya UVCCM, lililopo kwenye makutano ya Barabara ya Morogoro na Lumumba. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuia hiyo, Mfaume Ally Kizigo ambaye Baraza Kuu la UVCCM lililofanyika Zanzibar juzi, lilimuithinisha kuendelea na nafasi hiyo aliyokuwa akiishikilia zaidi ya miaka minne sasa.
 "HAPA NDIYO OFISINI KWAKO MKUU" Kizigo akisema, wakati wakiwa ofisini kwa Sixtus, makamo makuu ya UVCCM, Dar es Salaam.
Sixtus na Kizigo wakipeana mikakati ya kazi, baada ya mapokezi ya viongozi hao makao makuu ya UVCCM Dar es Salaam, leo. Imetayarishwa na: theNkoromo Blog

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .