|
Kijana Bonus Hyera wa kijiji cha
Lusewa, akimsalimia kwa kumbusu mikono kwa shauku, Katibu wa NEC, Siasa na
Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, baada ya Dk. Asha-Rose kukutana na
kijana huyo, wakati wa shughuli ya uzinduzi wa tawi la CCM Kata ya Mbinga
mjini, mkoani Ruvuma, Nov 20, 2013, uliofanywa na Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana. Kijana huyo aliyeonekana kama aliyekuwa amelewa kiasi,
alionyesha heshima kubwa kwa Dk. Asha-Rose, tofauti ilivyokuwa inadhaniwa
na baadhi ya watu waliopomuona akimsogelea kwa shauku kiongozi huyo.
|
No comments:
Post a Comment