By
danielmjema.blogspot.com
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbCEKGMM0dDRc4cOHIa9KxyfXk099fdglaTMYP419LIRIbo_wudWouFwj6FRzyE9szpJ5FsVgpON3BwAcCP5wSV65R7WM5bQ3010ozqXzQYW3CJFuntF9q_IhWhIrg26pPbYKdzsKLDB4_/s1600/FKB_6456.JPG) |
Mkurugenzi wa Utangazaji kutoka Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Habbib Gunze (kushoto) akizungumza na
waandishi wa habari jijini Arusha Februari 10, 2014 juu ya
kukamilika kwa maandalizi ya Kongamano la 9 la CTO la mabadiliko ya
mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda Dijitali (DBSF) ambao utafanyika
kuanzia 11 – 14 Februari, 2014 Naura Springs Hotel, Arusha Tanzania.
Kulia ni Katibu Mtendaji wa CTO, Prof. Tim Unwin. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhiXg70-tfN0ffhEFKvvCC6-23ee_2Lqmuvwp3p7F8r9rj14i11ZnopERqK7gNKxjBFl9C7idz1EmL8HrR68zsX7ceQ7fQ0PzZsvooNqFGg1YRjQboQnfDFtwlqnF-rGjp-d0K6lwMOzyHE/s1600/FKB_6480.JPG) |
Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEge6llb9ZV5iaH3T3n02mHMIeOKQLyoM9S_8ZEro0AxV928g0G-H7MrhshWYmbm3OVlHx36H4qVF3E-x6TdvGmRlQgOIjMyUUSwHdWm6o0Ue3J07emgK1L6D3vAfAcbED2Fdh_3XyaErODN/s1600/FKB_6455.JPG) |
Mkurugenzi wa Utangazaji kutoka Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Habbib Gunze (kushoto) akizungumza na
waandishi wa habari jijini Arusha Februari 10, 2014 juu ya
Kongamano la 9 la CTO la mabadiliko ya mfumo wa utangazaji wa analojia
kwenda Dijitali (DBSF) ambao utafanyika kuanzia 11 – 14 Februari, 2014
Naura Springs Hotel, Arusha Tanzania. Katikati ni Katibu Mtendaji wa
CTO, Prof. Tim Unwin, akifuatiwa na Katibu Mtendaji wa Shirika la
Mawasiliano Afrika Mahsriki (EACO) Hodge Semakula. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrz48AS31gen96RiDpRh3qiC-rsfGoFSnkaGf9gnI8l-AsoZkB4icw9y2xss5bT5LnN98AgP_yRrZ2pLpFxSgr3OsGHTNKm38n8ALO0CFvHp65ER-wX-mw_XZ97EYrsnSCEUDthYW20tTG/s1600/FKB_6462.JPG) |
Mkurugenzi wa Utangazaji kutoka Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Habbib Gunze akifafanua zaidi juu ya
Kongamano hilo 9 la CTO la mabadiliko ya mfumo wa utangazaji wa
analojia kwenda Dijitali (DBSF) |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg6_4J38VLWEV5LkTtfti0Ih6MjAqjek5zOFgMdPv-IjnIXBoT8xk5yUas6CAy01xEa0Z8Ma5Se2BHFL3n_LUVVOztOlJeM6gjHxQbR4j9uC1QYMhzGA06FmFbaPB3IKLIr60ngxs20GReM/s1600/FKB_6465.JPG) |
Katibu Mtendaji wa Commonwealth
Telecommunications Organisation (CTO) Prof. Tim Unwin, akizungumza na
wanahabari wa jijini Arusha juu ya kukamilika kwa maandalizi ya mkutano
huo unaoanza Februari 11-14, 2014 katika hoteli ya Naura Spring
Arusha.Kushoto ni Habbib Gunze, Mkurugenzi wa Utangazaji kutoka Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Kulia ni Katibu Mtendaji wa Shirika la
Mawasiliano Afrika Mashariki (EACO), Hodge Semakula. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg34nXcUnsJkaCBcSedfTdYzyK65bOuaksBCSHgJ44MF1DlAUtXnCSYruFIAts6qXEv-TU5Qp6a_KwkBC3GbQGvOndn_8NITCtvqqdXzEIjiWconcFK5dMaPt_aQbHxBxDu073RqJZvW4LS/s1600/FKB_6476.JPG) |
Viongozi TCRA, CTO na EACO wakizungumza na wanahabari |
0 MAOINI :