KUNDI LA TATU LA WATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO WAFURAHIA KUFIKA SHIRA CATHEDRAL (KANISANI)

Posted in
No comments
Wednesday, May 21, 2014 By danielmjema.blogspot.com


Kundi la mwisho la watalii wa ndani wakiwa katika uwanda wa Shira wakielekea katika eneo maarufu kama Kanisani yaani Shira Cathedral.
Watalii wa ndani wakipewa maelekezo ya vifaa mbalimbali yakiwemo mavazi yanayotumika kupandia mlima.
Watalii wa ndani wakaianza safari ya kuelekea Kanisani Shira Cathedral.
Baada ya kupanda Kilima kimojawapo watalii wakafika wakiwa hoi.
Waliofanikiwa kufika wakapata mapumziko huku wakiangalia mandhari nzuri ya mlima Kilimanjaro.
Licha ya kufika akiwa hoi bado mtalii huyu wa ndani, Mwandishi wa Habari Leo, Nakajumo James, alionesha uzalendo kwa nchi yake.

Tumefanikiwa kufika kilele cha kwanza kwa mapumziko kidogo.
Safari ya kufika kanisani ilipo karibia kila mmoja alibeba jiwe dogo ka ajili ya kuweka kumbukumbu.
Waliokuwa na nguvu wakafika mapema kileleni kuwahi ibada ya kwanza.
Waliochelewa wakapicshana na waliowahi ibada ya kwanza wao wakaenda kwa ajili ya ibada ya pili.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .