MATUKIO MBALIMBALI YA MTOTO IDDA BAITWA MWENYE UMRI WA MIAKA 9, AKIELEKEA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.

No comments
Thursday, July 3, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mtoto Idda Baitwa akiwa na ndugu yake Leah Baitwa wakiwa wamepumzika baada ya kutembea umbari mrefu wakipanda mlima Kilimanjaro.
Mtoto Idda Baitwa akijaribu kupita katika miamba kwa msaada wa fimbo wakati akipanda mlima Kilimanjaro.
"Hoi' ni baada ya kutembea umbali mrefu.
Baada ya kuvuka vikwazo kadhaa mtoto Idda Biatwa alipata afasi ya kuchukua Taswira na nduguze.
Safari ikaendelea.
Kila kivutio alichokutana nacho mtoto Idda Baitwa na nduguze walipata kuchukua Taswira.
Safari ikaendelea.
Muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kuelekea kileleni.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .