WAFANYAKAZI WALIFANIKISHA WIZI STANBIC-KOVA

Posted in
No comments
Monday, October 27, 2014 By danielmjema.blogspot.com


Watu wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni Majambazi jana walivamia Benki ya Stanbic katika tawi la Mayfair jijini Dar es Salaam nchini Tanzania na kupora kiasi cha fedha ambacho kiasi chake bado hakijafahamika.

Kamanda Kova pia amesema wizi huo unaonekana ni mpango uliofanywa na baadhi ya watumishi wa banki hiyo kutokana na wezi hao kufanya tukio hilo na kuchukua fedha kwa urahisi Zaidi.


http://eatv.tv/news/current-affairs/wafanyakazi-walifanikisha-wizi-wa-stanbic-kova

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .