Baada ya Kunasa kwa Harmonize, hivi ndivyo Wolper anavyomuita Diamond
Posted in
Burudani
No comments
Wednesday, May 25, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Kwa sasa habari ya mjini, Afrika Mashariki na kati ni uhusiano kati ya Muigizaj wa Bongo movie, Jackline Wolper na Staa wa Bongo fleva kutoka Wasafi Classic Baby (WCB) Harmonize.
Katika mahojiano na Take One ya Clouds TV na Zamaradi Mketema, Jackline Wolperameeleza mambo kadhaa kuhusiana na penzi lake la Harmonize, Diamond ambaye aliwahi kuwa mpenzi wake anachukuliaje mahusiano yao?
“Diamond rafiki yangu sana ni mtu ambae nategemea hata kuja kufanya nae filamu, Diamondi ni rafiki yangu sana licha ya watu wanaweza wasielewe, lakini sasa hivi Diamond ni baba mkwe wangu,
“kuhusu Harmonize nampenda kwa sababu ana hofu ya mungu, ana heshima sana mwisho hawezi kufanya maamuzi bila kuomba ushauri, katika kunipenda mimi alipiatia pia kuomba ushauri kwa Diamond ambaye ni boss wake kaka yake na kupewa ruhusa kwa hiyo Baraka zimetoka kwa Diamond mwenyewe”
Habari Zingine
- RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY
- New Hit: Lady Jay Dee – Sawa Na Wao
- Madonna atembelea makazi duni ya Kibera, Nairobi
- Timbulo: SIjarejea kwenye ualimu
- Vijana wazidi kujitokeza usaili wa Maisha Plus East Africa, Dar es salaam yatia fora
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :