SITTI MTEMVU AKUBALI KUACHIA TAJI LA MISS TANZANIA
Posted in
Ulimbwende
No comments
Saturday, November 8, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Mrembo aliyetawazwa umalkia wa Tanzania 2014, 'Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtevu (pichani kushoto) leo ametangaza rasmi kujivua taji hilo. Pamoja nae ni Mkurugenzi wa Lino International Agency Hashim Lundenga, ambao ndio waandaaji wa Miss Tanzania akizungumza japo katika moja ya mikutano na waandishi ambayo ilihusiana na taji hilo la Miss Tanzania 2014 kushikiliwa na Sitti ilhali anashutumiwa kudanganya umri.
Habari Zingine
- DORIS MOLLEL ACHANGIA VITABU SHULE YA MSINGI MPUNGUZI, DODOMA KWA USHIRIKIANO NA MAK SOLUTIONS LTD
- KABAAANG!!! MISS TANZANIA SITTI MTEMVU ALIVUNJA MASHARTI YA.....!
- SITTI MTEMVU AKUBALI KUACHIA TAJI LA MISS TANZANIA
- MISS SINGIDA 2014 DORICE MOLLEL ATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA WODI YA WATOTO NJITI
- Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya at the Miss World in London
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :