SITTI MTEMVU AKUBALI KUACHIA TAJI LA MISS TANZANIA

Posted in
No comments
Saturday, November 8, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mrembo aliyetawazwa umalkia wa Tanzania 2014, 'Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtevu (pichani kushoto) leo ametangaza rasmi kujivua taji hilo. Pamoja nae ni Mkurugenzi wa Lino International Agency Hashim Lundenga, ambao ndio waandaaji wa Miss Tanzania akizungumza japo katika moja ya mikutano na waandishi ambayo ilihusiana na taji hilo la Miss Tanzania 2014 kushikiliwa na Sitti ilhali anashutumiwa kudanganya umri.

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .