Hatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015

No comments
Friday, February 27, 2015 By danielmjema.blogspot.com

Maandalizi ya mwisho ya kukarabati maeneo mbalimbali ya uwanja wa Chuo kikuu kutakapofanyika mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni.
Maandalizi ya mwisho ya kukarabati maeneo mbalimbali ya uwanja wa Chuo kikuu kutakapofanyika mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni.
Mabango mbalimbali yakiwa yamewekwa maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi kuashiria kuanza kwa shamrashamra za mbio za Kilimanjaro Marathoni.
Baadhi ya wageni wakijiandikisha kukimbia mbio ndefu za kilometa 42 ambapo zoezi la uandikishaji linafanyika katika hotel ya Keys mjini Moshi.
Washiriki wa mbio za Kilometa 21 zinazodhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Tigo wakijiandikisha kwa ajili ya kupata namba maalumu wakati wa kukimbia mbio hizo. 

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .