Mkutano wa Injili Washington DC [Aug 14 - 16 2015]
Posted in
Habari na Jicho Pevu la Kijiwe
No comments
Monday, August 3, 2015
By
danielmjema.blogspot.com
Kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministries linapenda kuwaalika katika siku tatu za mkutano wa uamsho utakaofanyika hapa Washington DC.
Ni kati ya Agosti 14-16 2015
Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya ama Masanja Mkandamizaji alipohudumu kwa waumini wa jiji la Washington DC na vitongoji vyake siku ya Jumapili 07/07/2013 katika kanisa la THE WAY OF THE CROSS GOSPEL MINISTRIES
Ni kati ya Agosti 14-16 2015
Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya ama Masanja Mkandamizaji alipohudumu kwa waumini wa jiji la Washington DC na vitongoji vyake siku ya Jumapili 07/07/2013 katika kanisa la THE WAY OF THE CROSS GOSPEL MINISTRIES
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :