Kipindi cha Jukwaa Langu Sep 21 2015
Posted in
Habari na Jicho Pevu la Kijiwe
No comments
Wednesday, September 23, 2015
By
danielmjema.blogspot.com
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.
Kutoka Tanzania tuliungana na Richard Kasesela
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :