FIJI: KIMBUNGA YAUA 42
Posted in
Kifo
No comments
Wednesday, February 24, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Maafisa nchini humo wanahofu kuwa huenda idadi hiyo ikapanda zaidi, kwani data za watu waliofariki zinatoka maeneo ya ndani zaidi vijijini.
Nyaya ya nguvu za umeme iliyokuwa imekatizwa sasa inaunganishwa huku vyumba vya kuhifadhia maiti vikiwa bado havina umeme.
Kwa sababu hiyo, serikali sasa imezishauri familia zilizopoteza wapendwa wao, kuwazika au kuzichoma maiti haraka iwezekanavyo, kwa sababu ya ukosefu wa vifaa vya kuhifadhi maiti.
Habari Zingine
- Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete alivyoongoza mazisi ya mtoto wa Mdau, Issa Muhiddin Michuzi
- UPDATES ZA MSIBA WA MTOTO WA ANKAL: MWILI UMESHAWASILI DAR ES SALAAM, MAZISHI LEO JUMAMOSI SAA 10 ALASIRI MAKABURI YA KISUTU
- WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MPOKI BUKUKU TABATA, JIJINI DAR ES SALAAM
- Jivu la mwili wa Fidel Castro lazikwa Santiago Brazil
- IS yauwa wanajeshi 32 wa Libya
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :