KENYA: WANAFUNZI WAANDAMANA CHUO KIKUU CHA JKUAT

No comments
Wednesday, March 9, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Habar zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Wanafunzi wa chuo kikuu cha JKUAT wanaandamana wakilalamikia kifo cha mwanafunzi mmoja wa kiume anayedaiwa kupoteza maisha baada ya kula chakula chenye sumu (Food Poisoning).

jujascWanafunzi hao ambao wamekuwa wakikabiliana na polisi tangia mida ya saa kumi jioni, wanailaumu zahanati ya chuo hicho kwa kutowajibika hivyo basi kupelekea kifo cha mmoja wao. Polisi wakupambana na ghasia bado wanakabiliana na wanafunzi ndani ya chuo hicho na vitongoji vyake.

Tutaendelea kuwajuza kadri habari zaidi zitakavyotufikia

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .