Kikosi cha uteguaji mabomu kilivyowasili Old Trafford kufanya uchunguzi wa bomu
Posted in
Michezo
No comments
Monday, May 16, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
![](https://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2016/05/34334A6400000578-3591435-image-m-71_1463324604024.jpg?resize=660,400)
![3432E53800000578-3591435-Police_and_sniffer_dogs_were_in_the_ground_after_they_were_told_-a-48_1463323680639](https://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2016/05/3432E53800000578-3591435-Police_and_sniffer_dogs_were_in_the_ground_after_they_were_told_-a-48_1463323680639.jpg?resize=620,438)
Mchezo huo umehairishwa muda mchache ukiwa unatazamiwa kuanza, hiyo kutokana na uwanja wa Man United Old Trafford ambao una uwezo wa kuchukua mashabiki 75000 kuhisiwa kuwa bomu, hivyo kutokana na hali za kiusalama, mashabiki waliokuwa wameingia uwanjani kuangalia mchezo huo kuanza kutolewa nje.
![3432FCE000000578-3591435-A_bag_is_searched_in_the_stands_prior_to_the_match_being_abandon-a-59_1463323680912](https://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2016/05/3432FCE000000578-3591435-A_bag_is_searched_in_the_stands_prior_to_the_match_being_abandon-a-59_1463323680912.jpg?resize=620,402)
Baada ya kuahirishwa kwa mchezo huo kati ya Man United dhidi ya AFC Bournemouth, ratiba ya lini utachezwa mchezo huo imetajwa kuwa ni Jumanne ya May 17 2016.
![3432FB7000000578-3591435-At_around_3_20pm_the_remaining_fans_from_all_the_stands_began_to-a-57_1463323680860](https://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2016/05/3432FB7000000578-3591435-At_around_3_20pm_the_remaining_fans_from_all_the_stands_began_to-a-57_1463323680860.jpg?resize=620,418)
![34341E4200000578-3591435-image-a-21_1463335648741 (1)](https://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2016/05/34341E4200000578-3591435-image-a-21_1463335648741-1.jpg?resize=620,358)
Rashford alipokuwa akiondoka Old Traford baada ya kuambiwa sehemu hiyo sio salama,
Tizama video ya tukio hilo hapa
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :