Cheki viatu vinavyotumia bluetooth kukuelekeza popote uendako
Posted in
Teknolojia
No comments
Monday, June 20, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Teknolojia hii iliotengenezwa na kampuni ya Easy Jet ambapo unaambiwa kama ni mgeni wa sehemu uliofikia na hujui popote unatumia viatu hivyo kwa kuunganisha na simu yako kwa kuunganisha na kifaa hicho kwenye viatu vyako kwa bluetooth na vita kukupeleka popote utakapotaka kwenda kwa miguu yako mwenyewe bila kupotea.
Viatu hivi vimefanyiwa majaribio nchini Brazil kwa mara ya kwanza na vitaingizwa sokoni siku za mbeleni kwa ajili ya watu kuvinunua na kuvitumia kwa matumizi binafsi.
Tazama video hii kujua zaidi kuhusu viatu hivi….
Habari Zingine
- Cheki viatu vinavyotumia bluetooth kukuelekeza popote uendako
- Hizi ndio Treni mbili za kifahari zinazotengenezwa, nchini Japan, kuanza kutumika May 2017
- Simu ya Roboti yaziduliwa leo
- Uswisi kuzindua Reli ndefu zaidi Duniani inayopita 'underground' imejengwa kwa miaka 17
- China yatengeneza mabasi yanayopita juu ya magari mengine (tizama Video)
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :