Cheki viatu vinavyotumia bluetooth kukuelekeza popote uendako

Posted in
No comments
Monday, June 20, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Taarifa hii ikufikie mtu wangu kama wewe utakuwa ni mpenzi wa kuvaa viatu, hii ni good news kwako kwani inahusu moja kati ya viatu vinavyotumia bluetooth na venye uwezo wa kukuelekeza mahali uendapo na nimeona ni share na wewe mtu wangu, Viatu hivi  vyenye jina la ‘Sneakerairs‘  na vina  sensor ya umeme 
Teknolojia hii iliotengenezwa na kampuni ya Easy Jet ambapo unaambiwa kama ni mgeni wa sehemu uliofikia na hujui popote unatumia viatu hivyo kwa kuunganisha na simu yako kwa kuunganisha na kifaa hicho kwenye viatu vyako kwa bluetooth na vita kukupeleka popote utakapotaka kwenda kwa miguu yako mwenyewe bila kupotea.
Viatu hivi vimefanyiwa majaribio nchini Brazil kwa mara ya kwanza na vitaingizwa sokoni siku za mbeleni kwa ajili  ya watu kuvinunua na  kuvitumia kwa matumizi binafsi.
Tazama video hii kujua zaidi kuhusu viatu hivi….

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .